zichq@zic.co.tz

Drop us a line

+255 24 2232676

Make a call

 mkataba wa makubaliano ya huduma za bima baina ya zic na crdb

mkataba wa makubaliano ya huduma za bima baina ya zic na crdb

Katika mikakati mbalimbali ya kukuza uchumi wa buluu leo tumeingia makubaliano na benki ya @crdbbankplcya kutoa huduma za uwakala wa bima katika miradi yote ya kimkakati inayotekelezwa Zanzibar.

Pichani ni Mkurugenzi wetu Ndg. @Arafat__AH pamoja na Bi. Maureen Majaliwa Mkuu wa kitengo cha Bima CRDB wakionesha hati za makubaliano hayo.

 CALL FOR INTERVIEW

CALL FOR INTERVIEW

 EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *